Psalms 67:5-7


5 aEe Mungu, mataifa na wakusifu,
mataifa yote na wakusifu.


6 bNdipo nchi itatoa mazao yake,
naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.

7 cMungu atatubariki
na miisho yote ya dunia itamcha yeye.
Copyright information for SwhKC